Skip to main content
Skip to main content

Dereva wa Mbunge wa Kibra alipa faini ya laki moja kwa makosa ya trafiki, aomba msamaha kwa Wakenya

  • | Citizen TV
    6,027 views
    Duration: 2:22
    Dereva wa mbunge wa Kibra, Peter Orero, George Oduor amelipa faini ya shilingi laki moja leo, baada ya kupatikana na hatia ya kuvunja sheria za barabarani hapa Nairobi. Mbunge Orero aliomba msamaha kwa wakenya kwa kuhusika kwenye tukio hilo akisema alipatikana 'kona mbaya'