Skip to main content
Skip to main content

Dhuluma za jinsia zaongezeka Naivasha kaunti ya Nakuru

  • | Citizen TV
    262 views
    Duration: 2:06
    Dhuluma za jinsia zinaendelea kuongezeka hasa kwa wafanyakazi wa mashamba ya maua huko naivasha kaunti ya Nakuru. kwa mujibu wa utafiti wa kundi la wanaharakati dhidi ya dhuluma za jinsia la Naivasha , kesi nne huripotiwa kila wiki