Dira Magatuzini: Hatua kabambe zachukuliwa kudhibiti ajali barabarani

  • | KBC Video
    18 views

    Waziri wa ardhi, nyumba na ustawi wa miji, Alice Wahome amehakikishia wakenya kwamba mradi wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu uko kwenye mkondo unaostahili. Waziri aliyasema hayo baada ya kufanya ziara ya ghafla kwenye mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu huko Olkalou, kaunti ya Nyandarua. Wahome alitangaza kwamba nyumba-520 zinajengwa katika eneo hilo, huku nyumba-100 tayari zikiwa zimekamilika na asilimia 40 ya nyumba nyingine ikikaribia kukamilika.

    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/

    #kbcchannel1 #news #kbclive