- 145 views
Jaji bahati mwamuye wa mahakama kuu amemtahadharisha Inspekta Jenerali wa polisi Douglas Kanja kwamba atahukumiwa na kufungwa kwa kosa la kudharau mahakama iwapo atakosa kufika mahakamani tarehe 27 mwezi januari, ili atoe maelezo kuhusu uchunguzi unaoendelea kuhusu madai ya utekaji nyara.hii ni baada ya Kanja kukosa kufika mbele ya mahakama hiyo. Katika uamuzi tofauti ,mahakama kuu imeelekeza kuwa aliyekuwa inspekta jenerali wa polisi Japheth Koome anawajibika binafsi kwa hatua za maafisa wa polisi walio mpiga dkt Davji atela wakati wa maandamano ya amani ya madaktari mwaka 2024.
Douglas Kanja apewa siku 14 kumi na nne kufika mahakamani la sivyo ahukumiwe
- 19 Aug 2025 - Heated exchanges were witnessed during Monday evening’s Machakos County Assembly sessions after county chief officers failed to appear before the House to respond to questions on the methods they have been using to hire staff.
- 19 Aug 2025 - A man in Nakuru was found guilty of murder in a case where he attacked another man he found under his bed in a suspected love triangle.
- 19 Aug 2025 - The Chief Magistrate in Busia, Edna Nyaloti, has raised concerns over a growing influence of brokers she says are infiltrating the local court system, warning that the integrity of justice is at risk.
- 19 Aug 2025 - The victim, identified as Mzee Barack Ochuka, succumbed to injuries after he was attacked with crude weapons, sustaining severe wounds to the head, back, and arms.
- 19 Aug 2025 - Allied Democratic Forces rebels take revenge on civilians after suffering defeats to Congolese forces.
- 19 Aug 2025 - The driver then sped from the scene.
- 19 Aug 2025 - Mutai will appear before the Senate on Wednesday.
- 19 Aug 2025 - Buses using the routes will experience delayed departures.
- 19 Aug 2025 - Lawyer Ndegwa Njiru has faulted Nominated Member of Parliament Sabina Chege for betraying former President Uhuru Kenyatta. Speaking
- 19 Aug 2025 - The MPs met Ruto and Raila in Karen.