- 450 viewsNdege isiyokuwa na rubani ya Iran iliruka takriban mita 1,370 karibu na manuari inayobeba ndege za kivita USS Dwight D. Elisenhower wakati ikirusha ndege zake katika eneo la majini la kimataifa Novemba 28, 2023, kulingana na taarifa iliyotolewa na Jeshi la Majini la Marekani. Naibu Mkuu wa Jeshi la Wanamaji Brad Cooper, kamanda wa Jeshi la Majini Kamandi ya Kati, alisema kuwa droni hiyo “ilikiuka tahadhari za kiusalama” kwa kutobakia zaidi ya maili 10 za mwendo wa baharini (kilomita 18.5) kutoka katika meli hiyo. Hakuna yeyote aliyeripotiwa kujeruhiwa na hakuna ndege iliyoharibiwa. Droni hiyo ilipuuza ilani kadhaa zilizotolewa lakini hatimaye iligeuza muelekeo wake. “Huu mwenendo usio salama, usiokuwa na weledi, na tabia ya kutowajibika inayofanywa na Iran inahatarisha uhai wa Wamarekani na mataifa washirika na lazima ukome mara moja,” alisema Cooper. (AP) #Iran #PersianGulf #voa #reels #igreels #videography
Droni za Iran zaisogelea karibu Manuari ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi
- 18 May 2024 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace.
- 18 May 2024 - President William Ruto's allies have come out guns blazing to dismiss the Limuru III meeting that happened on Friday, terming it as a divisive way of trying to push an agenda and undermine the Kenya Kwanza rule.
- 18 May 2024 - The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
- 18 May 2024 - The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
- 18 May 2024 - Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- » ‘Ruto’s agreement to send police to Haiti invalid’ – Third Way Alliance’s Aukot states in letter to Biden, UN boss18 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Third Way Alliance party leader Ekuru Aukot has said the security mission deployed to Haiti by Kenya is invalid. Kenya […]
- 18 May 2024 - He said politics should go beyond regions and tribes
- 18 May 2024 - Several cases of cholera have been reported since the onset of floods
- 18 May 2024 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace. Mudavadi regretted that politics were previously determined by ethnic configurations and engagements…