- 450 viewsNdege isiyokuwa na rubani ya Iran iliruka takriban mita 1,370 karibu na manuari inayobeba ndege za kivita USS Dwight D. Elisenhower wakati ikirusha ndege zake katika eneo la majini la kimataifa Novemba 28, 2023, kulingana na taarifa iliyotolewa na Jeshi la Majini la Marekani. Naibu Mkuu wa Jeshi la Wanamaji Brad Cooper, kamanda wa Jeshi la Majini Kamandi ya Kati, alisema kuwa droni hiyo “ilikiuka tahadhari za kiusalama” kwa kutobakia zaidi ya maili 10 za mwendo wa baharini (kilomita 18.5) kutoka katika meli hiyo. Hakuna yeyote aliyeripotiwa kujeruhiwa na hakuna ndege iliyoharibiwa. Droni hiyo ilipuuza ilani kadhaa zilizotolewa lakini hatimaye iligeuza muelekeo wake. “Huu mwenendo usio salama, usiokuwa na weledi, na tabia ya kutowajibika inayofanywa na Iran inahatarisha uhai wa Wamarekani na mataifa washirika na lazima ukome mara moja,” alisema Cooper. (AP) #Iran #PersianGulf #voa #reels #igreels #videography
Droni za Iran zaisogelea karibu Manuari ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi
- 16 Aug 2025 - President William Ruto is scheduled to tour the United States next month for the 80th session of the United Nations General Assembly (UNGA) in New York, marking his first trip to the U.S. under President Donald Trump’s administration.
- 16 Aug 2025 - The killer Coptic roundabout in Mamboleo along Kisumu Kakamega highway has been dug out by unknown people last night following cases of road accidents in the area, with the latest claiming 27 lives, out of which 22 are set to be laid to rest today in…
- 16 Aug 2025 - The Democratic Republic of Congo (DRC) has raised objections over President William Ruto's nomination of a new Consul General to Goma, warning that such nominations require prior approval from Congolese authorities.
- 16 Aug 2025 - Politics can be messy, even desperate. But to cross the line into the indignification of women — reducing them to objects for male amusement — is not desperation. It is degradation.
- 16 Aug 2025 - The last days of July and the early weeks of August have been marked by a wave of
- 16 Aug 2025 - Kenya Power has issued a notice of planned power outages affecting parts of Nairobi, Machakos, Nakuru, and Mombasa
- 16 Aug 2025 - He described the voting process as irregular and predetermined.
- 16 Aug 2025 - Ghana international Semenyo took to Instagram after the game to show more racist abuse he had received.
- 16 Aug 2025 - Kipyegon clocked a blistering 8:07.04, the second-fastest time ever recorded over the distance
- 16 Aug 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has warned opposition leaders against any attempts to destabilize the country to gain power, declaring such acts to be dangerous and unacceptable.