Skip to main content
Skip to main content

Duale asema hatajiuzulu kwasababu ya SHA

  • | Citizen TV
    2,487 views
    Duration: 57s
    Waziri wa Afya Aden Duale amesema hatajiuzulu licha ya shinikizo la baadhi ya wabunge wamtaka ang'atuke kutokana na sakata ya ulaghaii wa malipo ya sha. Duale amesema baadhi ya wanaomtaka aondoke wanamiliki baadhi ya hospitali husika na wanafanya hivyo ili asitishe vita dhidi ya uporaji wa SHA