- 19 views
Katika makala ya juma hili, 18th March 2023:
- Huku mkutano wa baraza linaloongoza nchini China ukikamilika rais Xi Jinping alichaguliwa kwa mara ya tatu huku akiahidi kutii katiba na kukariri juhudi zake za kuiimarisha nchi hiyo. - Wanawake nchini Zimbabwe wanaelezea hisia na mtazamo wao wa kimaisha kupitia Sanaa ya uchoraji. - Afisa mmoja wa shirika la WHO asema chamko la kipindupindu nchini Malawi ndilo kubwa zaidi barani Afrika. - Waziri wa ujenzi na uchukuzi wa Lebanon, Ali Hamieh alisema kuwa benki ya dunia imesema iko tayari kuisaidia serikali ya nchi hiyo kwenye mpango wake wa uwekezaji wa kuijenga upya bandari ya Beirut. - Mwakilishi maalum wa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kuhusu Libya, Abdoulaye Bathily alikariri umuhimu wa kuandaa uchaguzi wa kitaifa nchini humo ili kuafikia amani uthabiti na ustawi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News #DuniaWikiHii #TheGreatKBC
Dunia Wiki Hii | Wanawake Zimbabwe waelezea hisia na mtazamo wao wa maisha kupitia sanaa ya uchoraji
- 21 May 2024 - US President Joe Biden denied Monday that Israel's war in Gaza was genocide, as he slammed an "outrageous" request by the International Criminal Court's prosecutor for an arrest warrant for Israeli leaders.
- 21 May 2024 - Residents of Homa Bay Town have raised concern over acute water shortage that has hit the Town for a month after Kenya Power and Lightning Company (KPLC) disconnected power supply at the main water intake over an electricity bill of Ksh.10 million owed…
- 21 May 2024 - Iran proclaimed five days of mourning for President Ebrahim Raisi on Monday, though the muted atmosphere revealed little of the spectacular public grief that has accompanied the deaths of other senior figures in the Islamic Republic's 45-year history.
- 21 May 2024 - At the conclusion of the fifth round of negotiations under the United States – Kenya Strategic Trade and Investment Partnership (STIP), United States Trade Representative Katherine Tai and Kenya's Cabinet Secretary for Investment, Trade, and Industry…
- 21 May 2024 - Kenyan airline Jambojet has responded to a disgruntled client who accused them of unprocedurally cancelling her flight at the very last minute.
- 21 May 2024 - President William Ruto has invited leading health training institutions in the United States to create exchange programs for Kenyan students to boost research in the health sector.
- 21 May 2024 - Operators of small boats and crafts in Kenya’s Coastal region have been urged to keep off deep-sea areas.
- 21 May 2024 - Suba North Member of Parliament Millie Odhiambo has expressed concern over increased cases of hippo attacks and killings in several beaches within Homa Bay County.
- 21 May 2024 - Apart from Jomo Kenyatta, all past Kenyan presidents made State Visits to the US.
- 21 May 2024 - President William Ruto who is in Atlanta, Georgia on Monday witnessed the signing of crucial agreements marking a significant step towards improving healthcare in Kenya. The Memorandum of Understanding (MOU) was inked between the US Centre for Disease…