- 119 viewsShirika la hali ya hewa la umoja wa mataifa WMO lilitoa ripoti Jumatano inayoeleza kwamba joto limeongezeka kufikia viwango vya juu havijawahi kushuhudiwa na kuonya nchi za dunia kuchukua tahadhari ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ili kupunguza joto kali duniani. Wimbi la joto kali linakumba kwa wakati huu nchi za Afrika mashariki na Kati na nchi moja wapo Sudan kusini imeamuru shule zote kufungwa kwa wiki mbili kutokana na kuongezeka joto nchini humo. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Dunia yaonywa kuchukua tahadhari kuhusu ongezeko la joto | VOA Swahili
- 28 Apr 2024 - A search and rescue mission is ongoing after a private boat that was ferrying an unspecified number of people capsized between Madogo and Garissa on Sunday evening.
- 28 Apr 2024 - Until their tragic deaths, Eric Mutuku and Esther Kiamaiga were second- and first-year students, respectively, studying Human Resources and Education.
- 28 Apr 2024 - A congregant with the Maranatha Faith Assembly Church in Ongoche sub-location, Nyatike sub-county died on Sunday while four others sustained injuries after the wall of a building under construction collapsed.
- 28 Apr 2024 - Irate residents reportedly descended on the officer, raining blows on him.
- 28 Apr 2024 - He hums as he works, knowing his makeshift marionettes will put a smile on the faces of children displaced by the more than six-month war in the coastal Palestinian territory.
- 28 Apr 2024 - Transport Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has urged road users to exercise immense caution on the roads amid the heavy rains pounding most parts of the country.
- 28 Apr 2024 - Police Fc head coach Salim Babu has expressed the desire of the team to win this year’s MozzartBet Cup after his side thumped Sofapaka 4-0 in their quarter final match played Saturday at Dandora Stadium. Babu speaking after the encounter said that the…
- 28 Apr 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has asked Constitutional Commissions, Independent Offices (CCIOs) and other State agencies to use alternative conflict resolution mechanisms in resolving matters as opposed to courts. Speaking when he officially opened…
- 28 Apr 2024 - Speaking at a fundraiser in Central Imenti, Meru on Sunday, he urged attendees to pray for him, saying, "I humbly request your prayers." I am not one to be troubled or intimidated..."
- 28 Apr 2024 - The report was filed at the traffic base after the crack deepened.