- 583 views
Tume ya kupambana na ufisadi nchini hii leo imekabidhi kipande cha ardhi chenye thamani ya shilingi milioni mia nne kwa serikali kaunti ya Kisumu. Hii ni kufuatia uamuzi wa mahakama ulitolewa mwezi Novemba ambapo mwekezaji wa kibinafsi alipatikana na hatia ya kunyakua kipande cha ardhi kilichotengwa kwa ujenzi wa mabomba ya kusambaza maji. Na kama anavyoarifu Laura Otieno tume hiyo sasa imewaonya maafisa wa wizara ya ardhi ambao wanatoa hatimiliki ghushi za ardhi kwa wawekezaji wanaonyakua ardhi ya umma.
EACC imekabidhi ardhi chenye thamani ya ksh. 400m katika kaunti ya Kisumu
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - A court in Madagascar has sentenced a man to surgical castration for the rape of a child in 2024, a judicial official said, in the first such measure on the Indian Ocean island.
- 12 Jul 2025 - Ukrainian drone and shelling attacks killed three people in Russia on Friday, while Russian bombardments on eastern Ukraine forced the evacuation of a maternity centre in Kharkiv and wounded nine.
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - His resignation coincided with another senior government official's resignation on the same day.
- 12 Jul 2025 - Canada's recent concessions to Trump appear to have yielded, to date, little result.
- 12 Jul 2025 - Singer and influencer Diana Marua was left surprised after her eldest son, Morgan, revealed his future marriage plans.
- 12 Jul 2025 - Gachagua spoke while in the US where he is currently in a tour.
- 12 Jul 2025 - 'If we did have our own capability, we would not have been left at the mercy of the West.' - Uhuru
- 12 Jul 2025 - Twalib says Ruto has empowered women and youth at the grassroots levels.
- 12 Jul 2025 - A new report has revealed that almost 92 per cent of the world’s population now has basic access to electricity, but international financial support is still needed to boost progress and address disparities, especially in Africa. Notable progress was…