- 2 views
Wizara ya afya iko katika tahadhari kuu kufuatia kuripotiwa kwa kisa cha ugonjwa wa Ebola mjini Mbale, mashariki ya Uganda, ulio chini ya umbali wa kilomita-70 kutoka eneo la mpakani la Malaba. Mikakati hiyo inajumuisha kuimarishwa kwa uchunguzi katika viingilio vya humu nchini huku maegesho maalum yakitengwa kwa ndege zinazowasili kutoka nchini Uganda. Wananchi wamehimizwa wawe waangalifu zaidi huku serikali ikishauriana na halmashauri ya kusambaza vifaa vya matibabu hapa nchini-KEMSA ili kununua dawa za kutosha vikiwemo vifaa vya kujikinga katika juhudi za kujiandaa kwa hali yoyote inayoweza kutokea. Kufikia leo, Uganda imethibitisha visa-9 vya maradhi ya Ebola.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ebola yaripotiwa Mbale, Mashariki ya Uganda
- 21 Mar 2025 - The World Health Organization (WHO) regional office in Africa found itself in an unprecedented situation when its Director Dr. Faustine Ndugulile succumbed while receiving medical treatment in India.
- 21 Mar 2025 - President William Ruto on Thursday met legislators from the Mt. Kenya counties at State House, Nairobi, ahead of his planned tour of the region.
- 21 Mar 2025 - Super Metro Ltd matatu sacco has filed an appeal with the Transport Licensing Appeals Board in Nairobi, challenging NTSA’s decision to suspend it, terming the move arbitrary and unjust.
- 21 Mar 2025 - A chief from Wajir County and a Huduma Centre official have been charged at the Milimani Anti-Corruption Court for allegedly tampering with national identity details.
- 21 Mar 2025 - Kirinyaga Governor Anne Waiguru has defended the government’s Universal Health Coverage program, Taifa Care, urging Kenyans to disregard political detractors attempting to derail its rollout.
- 21 Mar 2025 - The Council of Governors (CoG) has threatened to suspend services in county governments within 14 days if allegedly diverted funds to the devolved units are not immediately restored.
- 21 Mar 2025 - They want the County Allocation of Revenue Act declared unconstitutional.
- 21 Mar 2025 - Arguments that the Speaker was at risk of suffering a 'monumental embarrassment' rejected.
- 21 Mar 2025 - On Tuesday, the US advised its citizens to exercise extra caution when travelling to Kenya.
- 21 Mar 2025 - Governors have urged senators to not pass Bill slashing county budgets.