- 28 views
Aliyekuwa waziri wa michezo Rashid Echesa amedai kuwa masaibu yametokana na gavana wa Kakamega Fernandes Barasa anayemshtumu kwa kuchochea kukamatwa kwake baada ya kudaiwa kufichua shughuli zisizofaa katika kamati kuu ya kaunti hiyo. Echesa aliyeandaa mikutano kwenye vituo mbalimbali aliyoirejelea kuwa kurejea nyumbani na kutoa shukrani hata hivyo amesema kuwa mapambano ya kisheria baina yake na Barasa hayajafikia kikomo kwani ana ushahidi muhimu wa kuwasilisha mahakamani kuthibitisha kwamba gavana huyo anahusika katika ushirikina.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Echesa amshtumu gavana Barasa kwa masaibu yanayomwandama
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - Heavy rains battering Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul have killed 31 people, local authorities said on Friday, and the death toll is expected to rise as dozens still have not been accounted for.
- 4 May 2024 - At least nine people, including seven children, were killed on Friday in a strike at a displacement camp in the eastern Congolese city of Goma, a local official and a military spokesman said.
- 4 May 2024 - Big challenge of our democracy is not longer terms for leaders
- 4 May 2024 - Floods are the world's wake-up call to craft proactive responses
- 4 May 2024 - Coast braces for strong winds and powerful waves
- 4 May 2024 - Ruto snubs Machogu, postpones reopening of schools
- 4 May 2024 - Cyclone Hidaya might be kind on Kenya but prepare for more rains
- 4 May 2024 - Court blocks senators' Sh500m oversight fund, calls for new rules
- 4 May 2024 - Confusion in Kenya Kwanza ranks worrying
- 4 May 2024 - Tropical Cyclone Hidaya is expected to hit the country any time from the Indian Ocean with strong winds experienced for the better part of Friday evening.