Skip to main content
Skip to main content

Edward Gituku akamatwa kwa tuhuma za ulanguzi wa binadamu

  • | Citizen TV
    3,997 views
    Duration: 2:24
    Edward Kamau Gituku mshukiwa katika sakata ya ulanguzi wa binadamu atazuiliwa kwa siku kumi . Gituku alikamatwa pamoja na washukiwa wengine 22 katika nyumba moja katika mtaa wa great wall huko mavoko akidaiwa kuhusika na usafirishaji wa watu hadi nchini urusi.