Mbunge wa Teso kusini Mary Emase na mwenzake wa Teso kaszikazini wamemtaka rais William Ruto na kinara wa ODM Raila Odinga kuikumbuka jamii ya Iteso na kaunti ya Busia wakati wa uteuzi wa waziri wa maswala ya kijinsia, makatibu wakuu na maafisa wengine serikalini.
7 Aug 2025
- The United Nations is set to expand its base in Kenya as Agencies, Funds and Programmes relocate some of their regional and global operations to Kenya.