Skip to main content
Skip to main content

Eneo la Grogan laathirika tena na mafuriko

  • | Citizen TV
    14,068 views
    Duration: 3:22
    Kwa mara nyingine sehemu nyingi za jiji la Nairobi zilijaa maji kupindukia kufuatia mvua iliyonyesha jana jioni. Mojawapo ya maeneo yaliyoathirika zaidi ni pamoja na eneo la Grogan ambako magari zaidi yalisombwa huku majumba yakijaa maji.