Epstein Files: Jinamizi alililolifuga Trump linavyogeuka kumtafuna
Rais wa Marekani Donald Trump ameendelea kuandamwa na kashfa ya urafiki wake na Bilionea Jeffrey Epstein hata katika safari yake ya Uskochi (Scotland) – umbali mrefu kutoka nyumbani Marekani.
Epstein alijiua August 2019 akiwa katika gereza moja jijini New York ambako alikuwa akishikiliwa kwa kashfa ya kufanya ngono na watoto.
Trump amekuwa akitajwa kuwa rafiki wa karibu wa Epstein, lakini akiwa Scotland, rais huyo wa Marekani amesema alivunja urafiki wake na Epstein miaka mingi baada ya Epstein kuwa anamuibia wafanyakazi wake.
#bbcswahili #marekani #donaldtrump
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
29 Jul 2025
- Kenyans have been urged to take advantage of the lucrative opportunity.
29 Jul 2025
- The President had previously hinted at surrendering the company.
29 Jul 2025
- Wholesome changes were announced on Tuesday, July 29.
30 Jul 2025
- Prime Minister Keir Starmer announced Tuesday the UK will formally recognise the State of Palestine in September unless Israel takes various "substantive steps" in Gaza, including agreeing to a ceasefire.
30 Jul 2025
- The Law Society of Kenya (LSK) President Faith Odhimabo has clarified that the legal body will continue to support the family of blogger Ndiang’ui Kinyagia despite his decision to personally testify in court.
30 Jul 2025
- Pain and protest as kin seek justice for Julia Wangui
30 Jul 2025
- Coast leaders ask Supkem to iron out pilgrims' travel concerns over agents
30 Jul 2025
- State-funded hustlers pension fund fails to take off despite Sh3.3b collections
30 Jul 2025
- Inside Konza's plan to net investors
30 Jul 2025
- Raila piles pressure on Ruto to implement MoU
30 Jul 2025
- Firm's 35-year legal battle with lender lands in Supreme Court
30 Jul 2025
- Disastrous Ruto presidency should make us better voters
30 Jul 2025
- Cabinet moves to regulate church, health sector as KPC sale gets nod