- 1,958 viewsDuration: 2:34Familia moja mtaani Eastleigh inamtafuta jamaa yao anayedaiwa kutekwa nyara jumamosi iliyopita na hadi sasa hajulikani aliko. Inaarifiwa kuwa abdi aidid ali alitekwa nyara eneo la shauri moyo na watu waliokuwa wamebeba bunduki wakiwa kwenye magari mawili makubwa. Familia sasa ikisema haijapata usaidizi wa kutosha kutoka kwa polisi.