Skip to main content
Skip to main content

Familia ya Albert Ojwang’ bado inatafuta haki ya kifo chake mwaka mmoja baadaye

  • | Citizen TV
    8,312 views
    Duration: 3:33
    Mwaka Moja tangu kifo cha mwana blogu Albert Ojwang ukikaribia, familia yake bado inasubiri haki huku ikiomba serikali kuhakikisha haki ya Albert imepatikana. Familia hiyo iliandaa hafla maalum ya kumchumbia Albert mkewe kama ishara ya heshima na kuendeleza ukoo wake. James Latano alitembelea familia hiyo na kutuandalia Taarifa ifuatayo.