Skip to main content
Skip to main content

Familia ya Benard Omae yataka maelezo kuhusu kifo chake akiwa korokoroni Kibra

  • | Citizen TV
    330 views
    Familia ya Benard Omae, kijana aliyepatikana amefariki ndani ya kituo cha polisi cha Kibra jijini Nairobi sasa inataka wizara ya usalama wa ndani kutoa maelezo kamili kuhusu kifo cha mpendwa wao.