Skip to main content
Skip to main content

Familia yapewa fidia na KWS baada ya mwana wao kuumwa na nyoka

  • | Citizen TV
    1,515 views
    Duration: 1:53
    Imekuwa ni afueni kubwa na faraja kwa familia moja katika kijiji cha Katanin, Kaunti ya Nandi, baada ya kupokea fidia kutoka kwa Shirika la huduma kwa Wanyamapori (KWS) ya kifo cha mwana wao kilichotokea miaka kumi iliyopita baada ya kuumwa na nyoka. Akizungumza wakati wa hafla ya kutoa fidia hiyo, Katibu wa Uhifadhi katika Idara ya Wanyamapori, Dkt. John Chumo, alisema kuwa serikali inatumia karibu shilingi bilioni moja kila mwaka kufidia wananchi kutokana na vifo, majeraha, au uharibifu wa mali unaosababishwa na wanyamapori .