- 5,879 views
Familia za vijana waliouawa wakati wa maandamano ya mwaka jana walikabiliwa na gesi ya kutoa machozi walipokuwa wakishiriki maandamano ya amani kuwakumbuka wapendwa wao. Miongoni mwa waliokabiliwa na tukio hilo ni jamaa za marehemu na watetezi wa haki akiwemo aliyekuwa Jaji Mkuu David Maraga. Matumizi haya ya nguvu bila ya kuchokozwa yameibua ukosoaji mkubwa, hasa ikizingatiwa kuwa kulikuwa na ahadi kwamba familia hizo zingetengewa mazingira salama ya kuomboleza bila tatizo.
Familia za vijana waliouawa wakati wa maandamano ya mwaka jana wakabiliwa na maafisa wa polisi
- 26 Jun 2025 - The Nyanza region experienced mixed reactions yesterday as Gen Z protesters marked the anniversary of the June 25, 2024, demonstrations that left scores killed by police during anti-government protests. Unlike previous demonstrations characterised by…
- 26 Jun 2025 - President William Ruto and ODM leader Raila Odinga shared a platform in Kilifi County, where they called for national unity. The two spoke during the funeral of Governor Gideon Mung’aro’s father, Mzee Gideon Baya Mung’aro, in Kilifi. In a message urging…
- 26 Jun 2025 - Digital literacy powered Gen Z uprising, uplifted dissenting voices
- 26 Jun 2025 - Gen Z protesters paralyse Thika Road in city march
- 26 Jun 2025 - Maraga keeps his word to 'walk with Gen Z' as he builds 2027 momentum
- 26 Jun 2025 - It's yet another moment of faith as Kipyegon aims to inspire the world
- 26 Jun 2025 - Political appointees to lose board jobs in Cabinet's parastatal reforms
- 26 Jun 2025 - Property firms, telcos risk fines for locking out small internet firms from buildings
- 26 Jun 2025 - A nation pauses: Gen Zs force unofficial holiday to honour fallen protesters
- 26 Jun 2025 - State sued over razor wire barricade and a missing blogger