- 1,120 viewsDuration: 3:24Na tukiangazia uchungu wa familia za wale ambao bado hawajapatikana kufuatia mafuriko yaliyoshuhudiwa katika sehemu mbalimbali nchini, Familia ya Beatrice Akinyi, mchuuzi wa kahawa katika eneo la Grogon jijini Nairobi, inaomba msaada wa dharura kumtafuta jamaa yao. Akinyi alionekana mara ya mwisho Ijumaa alipotoka nyumbani kuenda kutafuta riziki na hadi sasa mama huyo wa watoto watano hajulikani aliko. Mahangaiko sawia yanashuhudiwa na familia ya Mike Otieno ambaye anashukiwa kuzama katika Mto Ngong