Skip to main content
Skip to main content

Familia za waathiriwa wa mauwaji ya Shakahola zaendelea kuchukua miili

  • | Citizen TV
    625 views
    Duration: 1:59
    Familia za waathiriwa wa mauwaji ya Shakahola zimeendelea kuchukua miili ya wapendwa wao katika makafani ya Malindi. Jumla ya miili 10 kati ya 34 tayari imekabidhiwa familia hata hivyo, jamaa za waathiriwa wamelalamikia serikali kuwaachia mzigo wa kugharamia mazishi.