Familia za Wapalestina zilizo koseshwa makazi zashuhudiwa zikikimbia kutoka Gaza
Familia za Wapalestina waliokoseshwa makazi zilionekana zikikimbia mji wa Gaza, wakielekea kusini mwa Ukanda wa Gaza Alhamisi (Julai 11), kufuatia amri ya hivi karibuni ya Israeli ikiwataka waondoke eneo hilo.
Majeshi ya Israeli yalidondosha vipeperushi vikiwataka wakaazi waondoke ambapo safari yao ya kuhama iliwapeleka hadi Salah al-Din huko wilaya ya Al-Nuseirat kusini mwa Gaza.
“Tunaelekea huko Deir Al-Balah. Bila shaka hatukuweza kulala usiku kucha kutokana na mashambulizi, hofu na wasiwasi,” alisema Aisha Kazat, ambaye alionekana akikimbia eneo hilo na familia yake.
Watu walionekana wakichukua kile walichoweza, ikiwemo farasi, katika magari aina ya pick up wakielekea kusini mwa Gaza.
“Tunashuhudia mambo mengi. Wanajeshi wengi wametusimamisha na kutupekua na wametuweka kwa muda wa saa nzima. Ni adhabu… siwezi hata kuzungumza. Tuna hali ngumu kuweza kuielezea au kuzungumzia,” alisema Mona Al-Husseini alisema Mpalestina aliyekimbia.
Wanamgambo wa Hamas wanasema shambulizi kali litakalofanywa na Israeli katika mji wa Gaza City wiki hii litaharibu juhudi na hatimaye kumaliza vita wakati tu mazungumzo hayo yameingia hatua ya mwisho.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
9 Aug 2025
- The multi-pronged structure is all under the Inspector General of Police.
9 Aug 2025
- Phase one of the stadium's construction has already begun.
9 Aug 2025
- Sifuna has been critical of President Ruto, demanding his ouster.
10 Aug 2025
- Energy Principal Secretary Alex Wachira has said that electricity vandals were on the rise thereby causing economic sabotage in the country disrupting services and endangering communities and hence called on security to put efforts in tackling the vice.
10 Aug 2025
- India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
10 Aug 2025
- Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
10 Aug 2025
- The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
10 Aug 2025
- Colombian president Gustavo Petro announced Friday the start of fresh talks with Clan del Golfo, the country's largest drug-trafficking gang and the world's largest producer of cocaine.
10 Aug 2025
- DP Kindiki's national economic empowerment programme stirs debate
10 Aug 2025
- Pride is our nation's real pandemic and only humility can save leaders
10 Aug 2025
- 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning
10 Aug 2025
- How Ruto's goofs created a US-China dilemma
10 Aug 2025
- Trump's hand in relocation of UN bodies from New York to Nairobi