Familia za Wapalestina zilizo koseshwa makazi zashuhudiwa zikikimbia kutoka Gaza
Familia za Wapalestina waliokoseshwa makazi zilionekana zikikimbia mji wa Gaza, wakielekea kusini mwa Ukanda wa Gaza Alhamisi (Julai 11), kufuatia amri ya hivi karibuni ya Israeli ikiwataka waondoke eneo hilo.
Majeshi ya Israeli yalidondosha vipeperushi vikiwataka wakaazi waondoke ambapo safari yao ya kuhama iliwapeleka hadi Salah al-Din huko wilaya ya Al-Nuseirat kusini mwa Gaza.
“Tunaelekea huko Deir Al-Balah. Bila shaka hatukuweza kulala usiku kucha kutokana na mashambulizi, hofu na wasiwasi,” alisema Aisha Kazat, ambaye alionekana akikimbia eneo hilo na familia yake.
Watu walionekana wakichukua kile walichoweza, ikiwemo farasi, katika magari aina ya pick up wakielekea kusini mwa Gaza.
“Tunashuhudia mambo mengi. Wanajeshi wengi wametusimamisha na kutupekua na wametuweka kwa muda wa saa nzima. Ni adhabu… siwezi hata kuzungumza. Tuna hali ngumu kuweza kuielezea au kuzungumzia,” alisema Mona Al-Husseini alisema Mpalestina aliyekimbia.
Wanamgambo wa Hamas wanasema shambulizi kali litakalofanywa na Israeli katika mji wa Gaza City wiki hii litaharibu juhudi na hatimaye kumaliza vita wakati tu mazungumzo hayo yameingia hatua ya mwisho.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
13 May 2025
- This is not the first time a petition is being filed against the DCJ.
13 May 2025
- Kimani Ichung'wah, who has been receiving criticism from Kenyans, has asked for forgiveness.
13 May 2025
- The latest report highlights a paradigm shift from the traditional income-generating investments to value-driven luxuries.
14 May 2025
- Safaricom CEO Peter Ndegwa has addressed concerns about the company's involvement in the Social Health Authority (SHA) system, clarifying that its role is limited to the digitisation of the process.
14 May 2025
- Sean "Diddy" Combs' former girlfriend, Casandra Ventura, the star prosecution witness at the hip-hop mogul's sex trafficking trial, testified on Tuesday that her music career began to suffer as she increasingly spent her time participating in days of…
14 May 2025
- South Africa's unemployment rate rose in the first quarter of this year, with statisticians fretting that increasing numbers of people appear to have given up looking for work.
14 May 2025
- Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said the military will enter Gaza "with full force" in the coming days, despite ongoing ceasefire efforts and the release of a US-Israeli hostage from the war-ravaged territory.
14 May 2025
- Finland President Alexander Stubb has hailed the historical Kenyan Gen Z movement witnessed in June last year during the anti-government protests, saying it was a momentous display of democracy.
14 May 2025
- Opposition leaders are now claiming that the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) nominees presented to Parliament for approval to take up management of the electoral body are a project to rig the 2027 General Election.
14 May 2025
- The crisis in the country's education sector continues to deepen, with the latest development being a Ksh.62 billion budget shortfall.
14 May 2025
- Tanzanian authorities arrested a senior opposition official as he was departing for a political conference in Belgium, his party said on Tuesday, as fears grow of an escalating crackdown ahead of an October election.
14 May 2025
- “No clean water. No toilets. No electricity. No well-planned living environment.” That is how Pastor Evans Moseti describes the one-room mabati house he has called home for the past nine years, its blue iron-sheet walls barely holding back Nairobi’s…
14 May 2025
- Eyes on Gachagua and fresh outfit amid moves to entice Mt Kenya