Familia zapokea mabaki ya miili ya walinda amani 14 waliouwawa DRC
Mabaki ya miili ya walinda amani 14 wa Afrika Kusini waliouwawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imerejeshwa nchini Alhamisi iliwasili katika Kituo cha Jeshi la Anga la Swartkop mjini Pretoria.
Wanajeshi hao walifariki mwezi uliopita wakati wa mapigano kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23 ambapo walipelekwa huko kwa kazi maalum ya ulinzi wa amani.
Majeneza ya wanajeshi hao yalifunikwa bendera za Afrika Kusini na yalibebwa na wanajeshi wa Jeshi la Anga kabla yakukabidhiwa kwa familia zilizo kuwa zikiomboleza vifo vyao.
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aliwaambia ndugu wenye huzuni wakati wa maombolezo hayo, “sisi kama raia wa Afrika Kusini tunawaona marehemu kuwa ni mashujaa wa taifa letu.
"Majukumu yao huko DRC yalikuwa siyo tu kuimarisha utulivu. Ilikuwa ni kuhusu kujenga madaraja, kujenga amani, kuimarisha maelewano na kufungua njia mbalimbali za kuleta amani ya kudumu katika kanda yetu na bara letu,” - AP
#drc #congo #m23 #reels #voa
15 Jul 2025
- The comedian passed away after a short illness.
15 Jul 2025
- This comes as pump prices hit a new high on July 14.
15 Jul 2025
- Court ordered Orwoba to pay Ksh10.5 million to Nyegenye for defamation.
16 Jul 2025
- A higher education crisis is brewing and for thousands of students from low-income families, a university dream may turn into a nightmare.
16 Jul 2025
- Kenya Airways is set to regain its long-haul strength as it prepares to return three grounded Dreamliners to service.
16 Jul 2025
- Chief Justice Martha Koome has pushed back against external interference and attacks on judicial officers by the political class.
16 Jul 2025
- Eight key suspects linked to the July 3, 2025, arson attack on Mawego Police Station in Rachuonyo North sub-county, Homa Bay County, were on Tuesday arraigned at the Kahawa Law Courts.
16 Jul 2025
- Like other Togolese under the age of 60, Elom cannot remember a time when the tiny west African nation was not ruled by a member of the Gnassingbe family.
16 Jul 2025
- Two victims of the recent violent Saba Saba protests have been laid to rest in deeply emotional ceremonies.
16 Jul 2025
- The government is investigating the mysterious deaths of four residents of the Migadini area in Changamwe, Mombasa County.
15 Jul 2025
- Sophia Sitati has been appointed as the new Registrar of Political Parties in an acting capacity.
15 Jul 2025
- Former Nominated Senator Gloria Orwoba has vowed to appeal a court ruling that ordered her to pay Ksh.10.5 million to Senate Clerk Jeremiah Nyegenye for defamation, defiantly maintaining that her sexual harassment claims remain unresolved.
15 Jul 2025
- Kenyans have been called upon to prioritize regular medical check-ups, particularly for diabetes, as part of the broader fight against the country’s rising burden of non-communicable diseases.