Familia zapokea mabaki ya miili ya walinda amani 14 waliouwawa DRC
Mabaki ya miili ya walinda amani 14 wa Afrika Kusini waliouwawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imerejeshwa nchini Alhamisi iliwasili katika Kituo cha Jeshi la Anga la Swartkop mjini Pretoria.
Wanajeshi hao walifariki mwezi uliopita wakati wa mapigano kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23 ambapo walipelekwa huko kwa kazi maalum ya ulinzi wa amani.
Majeneza ya wanajeshi hao yalifunikwa bendera za Afrika Kusini na yalibebwa na wanajeshi wa Jeshi la Anga kabla yakukabidhiwa kwa familia zilizo kuwa zikiomboleza vifo vyao.
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aliwaambia ndugu wenye huzuni wakati wa maombolezo hayo, “sisi kama raia wa Afrika Kusini tunawaona marehemu kuwa ni mashujaa wa taifa letu.
"Majukumu yao huko DRC yalikuwa siyo tu kuimarisha utulivu. Ilikuwa ni kuhusu kujenga madaraja, kujenga amani, kuimarisha maelewano na kufungua njia mbalimbali za kuleta amani ya kudumu katika kanda yetu na bara letu,” - AP
#drc #congo #m23 #reels #voa
17 Mar 2025
- The Health PS noted private hospitals are reluctant to provide some services.
17 Mar 2025
- Saudi Arabia has received over 190,000 Kenyan workers since 2024.
17 Mar 2025
- Education Cabinet Secretary Julius Migos issued orders to all schools in Kenya regarding certificates.
18 Mar 2025
- As a result, Kajiado Referral Hospital has been forced to discharge all admitted patients due to an acute shortage of healthcare workers.
18 Mar 2025
- In its application to be enjoined as an interested party in the case against Atambo, the association listed what it described as efforts to instill fear among judicial officers.
18 Mar 2025
- Thousands of students who sat national exams like KCSE are stranded; the school leavers have still not received their certificates, mainly due to unpaid school fees.
17 Mar 2025
- The European Union sanctioned three of Rwanda's military commanders and the head of its state mining agency on Monday over its support for armed fighters in the eastern Democratic Republic of Congo (DRC).
17 Mar 2025
- Kenya will seek a new agreement with the International Monetary Fund, the IMF said Monday, after the current programme winds to a close.
17 Mar 2025
- President William Ruto on Monday pledged his government’s commitment to implementing more reforms to ensure a motivated police service.
17 Mar 2025
- Wajir County spent Sh9 million to repair a generator.
17 Mar 2025
- Health facilities are protesting nonpayment of bills inherited from the defunct NHIF.
17 Mar 2025
- SG Davji Atellah says government has reneged on pledge to effect return-to-work formula signed last year.
17 Mar 2025
- The Dutch royals were received by Deputy President Kithure Kindiki, and Agriculture CS Mutahi Kagwe