Familia zapokea mabaki ya miili ya walinda amani 14 waliouwawa DRC
Mabaki ya miili ya walinda amani 14 wa Afrika Kusini waliouwawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imerejeshwa nchini Alhamisi iliwasili katika Kituo cha Jeshi la Anga la Swartkop mjini Pretoria.
Wanajeshi hao walifariki mwezi uliopita wakati wa mapigano kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23 ambapo walipelekwa huko kwa kazi maalum ya ulinzi wa amani.
Majeneza ya wanajeshi hao yalifunikwa bendera za Afrika Kusini na yalibebwa na wanajeshi wa Jeshi la Anga kabla yakukabidhiwa kwa familia zilizo kuwa zikiomboleza vifo vyao.
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aliwaambia ndugu wenye huzuni wakati wa maombolezo hayo, “sisi kama raia wa Afrika Kusini tunawaona marehemu kuwa ni mashujaa wa taifa letu.
"Majukumu yao huko DRC yalikuwa siyo tu kuimarisha utulivu. Ilikuwa ni kuhusu kujenga madaraja, kujenga amani, kuimarisha maelewano na kufungua njia mbalimbali za kuleta amani ya kudumu katika kanda yetu na bara letu,” - AP
#drc #congo #m23 #reels #voa
30 Apr 2025
- The lawmaker was gunned down within Nairobi city.
30 Apr 2025
- Kenya has been facing increased cases of suicide.
30 Apr 2025
- He joins the long list of Raila's allies that have benefitted in the broad-based govt.
1 May 2025
- Kasipul MP Charles Ong'ondo Were has been shot dead this evening at the City Mortuary round about in Nairobi.
1 May 2025
- The government now says it has not introduced any new taxes in the Finance Bill 2025, saying the move is meant to reduce the high cost of living in the country.
30 Apr 2025
- Controller of Budget Dr. Margaret Nyakang’o has filed an urgent application at the Nakuru High Court seeking clarity on contentious court orders that have thrown county bursary approvals and disbursements into disarray, delivering a major blow to needy…
30 Apr 2025
- Embattled Kenyatta University Vice Chancellor Prof. Paul Wainaina is back at the helm of the institution after the Employment and Labour Relations Court on Wednesday ordered his reinstatement as the institution’s top executive.
30 Apr 2025
- The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) has released an update on investigations into deaths and injuries that occurred during the Gen Z protests of June 2024, many of which were highlighted in the BBC documentary dubbed ‘Blood…
30 Apr 2025
- KMPDU has written to the University of Nairobi (UoN), demanding urgent measures to protect the welfare of medical registrars, who it says are being overworked and unfairly treated.
30 Apr 2025
- Two lovers have been arraigned in court in connection with the brutal murder and lynching of a 26-year-old woman in Likoni, Mombasa County.
30 Apr 2025
- Prof. Makau Mutua has landed a new job in the Kenya Kwanza administration, becoming the latest beneficiary of the broad-based government agreement between President William Ruto and former Prime Minister Raila Odinga.
30 Apr 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has directed that chiefs from five counties grappling with frequent livestock raids be registered and armed for self-defense.
30 Apr 2025
- Kasipul MP Ong’ondo Were has died. The MP is reported to have been shot dead by two assailants who had been trailing him on a motorbike. Upon reaching the junction at Nairobi Funeral Home, formerly known as City Mortuary, the pillion passenger of the…