- 3,035 views
Huku zikiwa zimesalia saa za kuhesabu kabla ya uzinduzi wa hazina ya hasla almaarufu hustler fund, mjadala mkubwa umesheheni kwenye mitadao ya kijamii kuhusu utekelezaji wake. Hali ya sintofahamu haswa miongoni mwa wananchi almaarufu mahasla wanaomezea mate hazina hiyo imeendelea kutanda, wengi wakijiuliza ni vipi wataweza kunufaika. Mwanahabari David Muthoka anaangazia kwa kina hazina hiyo itakayozinduliwa mwishoni mwa mwezi huu, na kujibu maswali nyeti ambayo yamekuwa yakiulizwa na mahasla kwenye mitandao ya kijamii, vibaruani na hata mitaani.
Fulusi za Mahasla: Hali ya sintofahamu yaendelea kutanda kuhusu utekelezaji wa Hustler Fund
- - Duniani Leo ››
- 18 Jun 2025 - Israel's strikes on Iran have targeted several of its nuclear facilities as it claims the country is seeking to develop nuclear weapons -- an accusation Tehran denies.
- 18 Jun 2025 - Mali began construction of a new Russia-backed gold refinery on Monday, which the West African country's military leader said would take it closer to asserting control over its natural resources.
- 18 Jun 2025 - Senegal has postponed until June 23 the publication of its budget execution reports for the last two quarters, the finance ministry said in a statement, as the new administration works to rebuild investor trust after a hidden-debt scandal.
- 18 Jun 2025 - Investigations have since began to establish the main cause of the accident
- 18 Jun 2025 - The city mask vendor who was shot in Nairobi is currently undergoing surgery, with an intensive care unit (ICU) bed prepared for post-operative care.
- 18 Jun 2025 - Tina Knowles reveals how a matrilineal bloodline survived slavery, segregation and police brutality to create music royalty
- 18 Jun 2025 - One of the five arresting officers told the family he was accused of insulting a police boss on social media.
- 18 Jun 2025 - The shooting will plunge President William Ruto into a deeper public crisis amid outrage against his government.
- 18 Jun 2025 - Kenya Universities Staff Union claims its officials were unfairly targeted during last month's staff layoffs.
- 18 Jun 2025 - We are going to liberate this nation not with any weapon but through the power of the voice.