Skip to main content
Skip to main content

Gachagua akosolewa kwa matamshi dhidi ya Waiguru na Mbarire, wakazi wataka aombe msamaha

  • | Citizen TV
    16,613 views
    Duration: 2:53
    Matamshi ya Rigathi Gachagua akiwafokea magavana Anne Waiguru na Cecily Mbarire yamemchongea baada ya wakazi wa Kirinyaga, Embu na Nakuru kuandamana wakimtaka Gachagua kuheshimu viongozi wao. Wakazi hao wamedai matamshi ya Gachagua yalilenga kudunisha uongozi wa wanawake nchini na kumtaka kuomba msamaha