- 2,115 views
Kinara wa chama cha DCP Rigathi gachagua sasa anamtaka Rais William Ruto kufanya kikao na familia zilizowapoteza wapendwa wao katika maandamano ya Gen Z Mwaka jana. Akiongea huko thika kaunti ya Kiambu gachagua amesema ni sharti familia hizo kupokea fidia. Naibu Kinara wa chama cha DCP Cleophas Malala Pamoja na seneta wa Kirinyaga wamemtaka rais kusitisha siasa katika maeneo ya magharibi na kuhakikisha ametimiza ahadi alizotoa.
Gachagua amtaka Rais Ruto kuomba familia za Gen-Z msamaha
- - Duniani Leo ››
- 2 Jun 2025 - The government paid the penalties between 2020/21 to 2023/24 financial years.
- 2 Jun 2025 - Former Deputy President last week said he only wants his impeachment reversed and to be compensated.
- 2 Jun 2025 - President's speech disrupted in Kisii, Natembeya skips event and Mbarire accuses State officials of disrespecting her.
- 2 Jun 2025 - Compensation of victims of police brutality during demonstrations was among issues ODM and UDA agreed to pursue in their deal.
- 2 Jun 2025 - How Ngugi's pen landed him in prison and later sent him into exile
- 2 Jun 2025 - Old guards face rebellion as Western Kenya rethinks its future
- 2 Jun 2025 - Finance Bill 2025 site: Activists demand the release of Rose Njeri
- 2 Jun 2025 - Deadly parasite mimics malaria, quietly claiming lives undetected
- 2 Jun 2025 - Going back to the roots: State acts to save healing herbs
- 2 Jun 2025 - Natembeya's star shines in Western as DAP-K gives him a wide berth