Gavana aelezea hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kuwanusuru wananchi
Huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Meja Jenerali Peter Cirimwami ambaye pia ni Gavana wa jimbo la Kivu Kaskazini siku ya Alhamisi ametembelea maeneo ambayo yanashambuliwa na waasi wa M23 hadi kwenye maeneo ya makazi ya raia yenye idadi kubwa ya watu.
Makazi hayo yako mjini karibu mji wa Goma na eneo la Sake kiasi cha kilometa 25 magharibi ya mji mwa Goma.
Gavana Cirimwani alifuatana na Kamati ya Usalama ya jimbo la Kivu Kaskazini. Meja Jenerali Cirimwami baadaye alitembelea kambi mbalimbali za wakimbizi zilizopo maeneo ambapo yanaendelea kukumbwa na mapigano.
Ripoti hii maalum imeandaliwa na mwandishi wetu wa Goma Austere Malivika aliyefanya mahojiano maalum na Gavana Cirimwani ambaye ameelezea hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kuwalinda wananchi na kuwahakikishia kuwa serikali yao itafanikiwa kurejesha utulivu. Endelea kusikiliza…
#drc #goma #kivukaskazini #waasi #m23 #mejajenerali #PeterCirimwami #voa #voaswahili #rais #felixtshisekedi
18 May 2024
- The shilling has strengthened against the Euro and the Sterling Pound by 18 per cent.
18 May 2024
- On Friday, 14 MPs from the Democratic Party accused the House Speaker of disrespecting Kenya.
18 May 2024
- Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.
19 May 2024
- Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
19 May 2024
- Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
19 May 2024
- Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
19 May 2024
- Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
19 May 2024
- The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
19 May 2024
- Police are investigating an incident in which a young man was shot dead during a violent confrontation between rival groups in Thika, Kiambu County, on Friday evening.
19 May 2024
- Thirdway Alliance party leader Ekuru Aukot says he will petition the United Nations seeking to put a stop to the deployment of police officers to Haiti.
19 May 2024
- Gachagua expected to fight back after week of silence amid attacks
19 May 2024
- Police probe fatal shooting incident over market space dispute
19 May 2024
- 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations