Gavana aelezea hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kuwanusuru wananchi
Huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Meja Jenerali Peter Cirimwami ambaye pia ni Gavana wa jimbo la Kivu Kaskazini siku ya Alhamisi ametembelea maeneo ambayo yanashambuliwa na waasi wa M23 hadi kwenye maeneo ya makazi ya raia yenye idadi kubwa ya watu.
Makazi hayo yako mjini karibu mji wa Goma na eneo la Sake kiasi cha kilometa 25 magharibi ya mji mwa Goma.
Gavana Cirimwani alifuatana na Kamati ya Usalama ya jimbo la Kivu Kaskazini. Meja Jenerali Cirimwami baadaye alitembelea kambi mbalimbali za wakimbizi zilizopo maeneo ambapo yanaendelea kukumbwa na mapigano.
Ripoti hii maalum imeandaliwa na mwandishi wetu wa Goma Austere Malivika aliyefanya mahojiano maalum na Gavana Cirimwani ambaye ameelezea hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kuwalinda wananchi na kuwahakikishia kuwa serikali yao itafanikiwa kurejesha utulivu. Endelea kusikiliza…
#drc #goma #kivukaskazini #waasi #m23 #mejajenerali #PeterCirimwami #voa #voaswahili #rais #felixtshisekedi
27 Jul 2024
- The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
27 Jul 2024
- Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
26 Jul 2024
- The case of Rex has taken yet another twist, after IPOA failed to identify the officer, now the family says the body was tampered with.
27 Jul 2024
- G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
27 Jul 2024
- The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
27 Jul 2024
- Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
27 Jul 2024
- Raila's allies nominated to the Cabinet will face an uphill task once they are in place.
27 Jul 2024
- What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?
27 Jul 2024
- Residents say despite receiving valid court orders, private developers continue their activities unabated
27 Jul 2024
- The entities increased their spending by Sh591 million
27 Jul 2024
- Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
27 Jul 2024
- My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial
27 Jul 2024
- Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction