Skip to main content
Skip to main content

Gavana James Orengo awataka waombolezaji kuwa watulivu na kumpa hayati Raila heshima za mwisho

  • | Citizen TV
    5,182 views
    Duration: 5:02
    Gavana wa Kaunti ya Siaya James Orengo amewataka waombolezaji kuwa watulivu na kumpa hayati Raila Odinga heshima za mwisho kwa ustaarabu wakati wa ibada ya mazishi na mazishi yatakayofanyika Jumapili.