Skip to main content
Skip to main content

Gavana Kang’ata ajiondoa UDA

  • | Citizen TV
    8,650 views
    Duration: 1:21
    Gavana wa Murang'a Irung'u Kang'ata amejiondoa kutoka chama cha UDA akisema hatawania kiti cha ugavana kupitia chama hicho mwaka ujao. Tangazo la Kang'ata limejiri saa kadhaa baada ya kuwa mwenyeji wa rais William Ruto huko Murang'a. Hata hivyo, Kang'ata hakutangaza chama cha kisiasa anachohamia akisema atatangaza mwelekeo wake baadaye.