- 430 viewsDuration: 2:12Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja amefika mbele ya kamati ya seneti kuhusu ugatuzi kuelezea kuhusu mkataba na serikali kuu. Sakaja ameidhibitishia kamari hiyo kuwa mkataba huo ni wa manufaa kubwa kwa utendakazi na miundo maingi jinini nairobi huku maseneta wakimtaka sakaja kuhakikisha kuwa serikali kuu haingilii kati huduma za kaunti kinyume na sheria za ugatuzi.