Gavana wa Kaunti ya Narok Ole Ntutu aunga mkono kupitishwa kwa mswada wa fedha

  • | Citizen TV
    243 views

    Gavana wa Kaunti ya Narok Patrick Ole Ntutu ameunga mkono kupitishwa kwa mswada wa fedha akisema ni muhimu katika kuimarisha uchumi wa taifa hili. Wakaazi wa eneo la Ilmisigiyo kajiado ya Kati wamenufaika na maji ya kisima itakachowawezesha kufanya ukulima na kufaidi mifugo pia Wakaazi Wa eneo hili wamesema kuwa wametaabika Kwa miaka mingi na hivyo hawana budi ya kufurahia. Wakati wa uzinduzi wa mradi hii ya kisima Havana Joseph ole Lenku amesema kuwa Kuna haja kubwa ya kufanya mafunzo Kwa watakaosimamia mradi huo ili kupunguza uharibifu.