Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya awaomywa madaktari dhidi ya kutowahudumia wagonjwa

  • | Citizen TV
    198 views
    Duration: 1:16
    Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya, amesema serikali yake haitavumilia madaktari walioajiriwa na serikali wanaoshindwa kuwahudumia wagonjwa ipasavyo huku wakitumia muda mwingi kuendesha kliniki zao binafsi.