Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Kwale Fatuma Achani asema wanyakuzi wa ardhi hawatashinda

  • | Citizen TV
    308 views
    Duration: 1:37
    Gavana wa Kwale Fatuma Achani amewahakikishia wakaazi wanaoishi katika ardhi yenye mzozo ya Mwereni yenye zaidi ya ekari laki moja kuwa ardhi hiyo itagawanyiwa wakaazii takribani elfu 15 walioishi katika ardhi hiyo tangu jadi