Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Machakos Wavinya Ndeti azindua mpango wa usambazaji wa mbegu

  • | Citizen TV
    54 views
    Gavana wa Machakos Wavinya Ndeti ameanza zoezi la usambazaji wa mbegu kwa wakulima katika maeneobunge yote 8 katika kaunti nzima. Akizungumza wakati wa kuanza kwa usambazaji wa mbegu katika uwanja wa Kathaana katika kaunti ndogo ya Kangundo, Wavinya alisema kwamba ‎serikali yake itahakikisha wakulima wanapata mbegu bora za mazao ya vyakula.