Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Trans Nzoia amezea mate tikiti ya urais ya upinzani

  • | Citizen TV
    4,764 views
    Duration: 1:46
    Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya amedokeza kuwa atakuwa miongoni mwa wanasiasa wanaomezea mate tikiti ya urais kupitia muungano wa upinzani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.