- 388 viewsMahandaki ya Hamas huko Gaza ndio lengo kuu la Israel wakati ikipanua mashambulizi yake ya ardhini kuingia eneo lenye msongamano wa watu katika kulipiza kisasi shambulizi la kushtukiza lililosababisha mauaji lililofanywa na kikundi cha Kiislam ndani huko kusini mwa Israel Oktoba 7. Mkuu wa zamani wa Ofisi ya Habari Jerusalem Stephen Farrell anaeleza: Gaza ni kituo cha Hamas, na kuna mtandao mkubwa wa mahandaki huko. Gaza na ni kituo cha siri cha nguvu za kijeshi katika eneo hilo. Hilo ndio eneo la Hamas kukimbilia kujificha, kuwaficha mateka, na kurusha roketi, kuhifadhi silaha, na ndio sababu mtandao huo ni muhimu sana kwa Israel. Hatua ya kwanza, imeharibu eneo la juu ya ardhi lililokuwa linaficha mahandaki hayo ili wapiganaji wa Hamas wasiwe na mahali pa kukimbilia. Hivi sasa, majeshi ya Israeli yanaingia chini ya ardhi ili kuweza kuwaokoa mateka, kuwaua au kuwakamata wapiganaji wa Hamas na kuwazuia au kuwasitisha wasiweze kamwe kufanya kitendo hiki tena. Nimekuwa katika baadhi ya haya mahandaki huko Gaza. Yale madogo ya kibiashara ni kiasi cha futi tatu hadi nne kwa upana. Mahandaki ya kijeshi ni yenye mfumo imara zaidi, yamejengwa kwa zege, na kina chake kikubwa. Itakuwa vigumu sana, sana, sana kabisa kwa Israel kuwatokomeza wapiganaji wa Hamas kutoka katika mtandao huo. #gaza #israel #palestine #reels #igreels #videography #voa #voaafrica #dagestan #russia
'Gaza na ni kituo cha siri cha nguvu za wapiganaji wa Hamas katika eneo hilo'
- 10 Aug 2025 - The streets were almost deserted in Yerevan Saturday because of the summer heat, but at shaded parks and fountains, Armenians struggled to make sense of what the accord signed a day earlier in Washington means for them.
- 10 Aug 2025 - Chad's former Prime Minister and opposition leader Succes Masra has been sentenced to 20 years in prison after he was convicted of disseminating racist and xenophobic messages.
- 10 Aug 2025 - President Volodymyr Zelensky on Saturday warned that "decisions without Ukraine" would not bring peace and ruled out ceding territory to Russia.
- 10 Aug 2025 - Consumer prices in China remained stable in July, official data showed Saturday, providing a respite for the world's second-largest economy, which is facing strong deflationary pressure and fragile domestic demand.
- 10 Aug 2025 - The two leaders said the framework is unconstitutional, against principle of natural justice
- 10 Aug 2025 - It comes as Donald Trump prepares to hold talks with Russian President Vladimir Putin in Alaska on Friday.
- 10 Aug 2025 - This comes just days after the accident claimed 25 lives.
- 10 Aug 2025 - The match between Kenya and Morocco will take place at Kasarani Stadium at 3 pm
- 10 Aug 2025 - The deceased will be buried on Sunday, August 10.
- 10 Aug 2025 - Desperate families feed infants unsafe substitutes, risking death as aid remains scarce.