- 388 viewsMahandaki ya Hamas huko Gaza ndio lengo kuu la Israel wakati ikipanua mashambulizi yake ya ardhini kuingia eneo lenye msongamano wa watu katika kulipiza kisasi shambulizi la kushtukiza lililosababisha mauaji lililofanywa na kikundi cha Kiislam ndani huko kusini mwa Israel Oktoba 7. Mkuu wa zamani wa Ofisi ya Habari Jerusalem Stephen Farrell anaeleza: Gaza ni kituo cha Hamas, na kuna mtandao mkubwa wa mahandaki huko. Gaza na ni kituo cha siri cha nguvu za kijeshi katika eneo hilo. Hilo ndio eneo la Hamas kukimbilia kujificha, kuwaficha mateka, na kurusha roketi, kuhifadhi silaha, na ndio sababu mtandao huo ni muhimu sana kwa Israel. Hatua ya kwanza, imeharibu eneo la juu ya ardhi lililokuwa linaficha mahandaki hayo ili wapiganaji wa Hamas wasiwe na mahali pa kukimbilia. Hivi sasa, majeshi ya Israeli yanaingia chini ya ardhi ili kuweza kuwaokoa mateka, kuwaua au kuwakamata wapiganaji wa Hamas na kuwazuia au kuwasitisha wasiweze kamwe kufanya kitendo hiki tena. Nimekuwa katika baadhi ya haya mahandaki huko Gaza. Yale madogo ya kibiashara ni kiasi cha futi tatu hadi nne kwa upana. Mahandaki ya kijeshi ni yenye mfumo imara zaidi, yamejengwa kwa zege, na kina chake kikubwa. Itakuwa vigumu sana, sana, sana kabisa kwa Israel kuwatokomeza wapiganaji wa Hamas kutoka katika mtandao huo. #gaza #israel #palestine #reels #igreels #videography #voa #voaafrica #dagestan #russia
'Gaza na ni kituo cha siri cha nguvu za wapiganaji wa Hamas katika eneo hilo'
- 30 Apr 2024 - The government of Kenya has confirmed 71 deaths following Monday flash floods in Mai Mahiu area, Deputy President Rigathi Gachagua has said.
- 30 Apr 2024 - The Meteorological Department has warned that the ongoing rains are set to continue this week.
- 30 Apr 2024 - President William Ruto will on Tuesday morning chair a special Cabinet meeting to discuss the flood situation in the country.
- 30 Apr 2024 - King Charles III on Tuesday makes his first official public appearance since being diagnosed with cancer, after doctors said they were "very encouraged" by the progress of his treatment.
- 30 Apr 2024 - Rugged ranch fate, or cruel judgment? South Dakota Governor Kristi Noem, a potential Donald Trump 2024 running mate, has shocked Americans by revealing she once shot her family dog -- a risky acknowledgement in a nation that cherishes its pets.
- 30 Apr 2024 - Hamas was studying Tuesday Israel's offer of a 40-day truce in the war in the Gaza Strip in exchange for the release of scores of hostages held since the Palestinian militant group's October 7 attacks.
- 30 Apr 2024 - The Ministry of Education on Monday issued another late-night directive to all school heads amid the flooding crisis.
- 30 Apr 2024 - Also present are his co-accused persons.
- 30 Apr 2024 - The nation is preparing to hold the general election on May 29.
- 30 Apr 2024 - KeNHA's new directive came hours after it flagged a report suggesting it had closed the same highway.