- 125 viewsGharama ya matibabu ya figo na uhaba wa vituo vya kufanya vipimo ni changamoto kubwa kwa wagonjwa wa figo kupata tiba nchini kenya kama ilivyo katika mataifa mengi barani afrika. Takwimu za wizara ya afya zimebaini kuwa takriban zaidi ya watu milioni tano wanamatatizo ya figo nchini Kenya huku vifo vikikadiriwa kufikia 4000 kwa mujibu wa shirika la Afya dunaini. Na hinyo serikali inaendela kuhamasisha wananchi kupima mapema ili kubaini ugonjwa huu kabla haujaathiri figo. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Gharama za matibabu Kenya ni changamoto kwa wagonjwa wa figo
- - ntv wildtalk ››
- 29 Apr 2024 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has stated that the Nairobi County government is overwhelmed by the ongoing rains which have claimed many lives and left many displaced.
- 29 Apr 2024 - The government has directed County Security and Intelligence Committees (CSICs) across the country to inspect all public and private dams and water reservoirs by 2 p.m. Tuesday.
- 29 Apr 2024 - Roads and Transport Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has pleaded with Kenyans to heed all safety directives issued by the national and county governments on the ongoing floods to avert further loss of lives.
- 29 Apr 2024 - Several people are feared dead after an improvised explosive device (IED) detonated at the centre of Elwak town, Mandera County on Monday.
- 29 Apr 2024 - Several people are feared dead after an improvised explosive device (IED) detonated at the centre of Elwak town Marsabit County on Monday.
- 29 Apr 2024 - African leaders on Monday called for rich countries to commit record contributions to a low-interest World Bank facility for developing nations that they rely on to help fund their development and combat climate change.
- 29 Apr 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja now says that his administration will give priority to residents of Nairobi City Council (Kanjo) estates when the affordable houses are ready.
- 29 Apr 2024 - The fistfight erupted after some of the officers failed to settle a bill after an evening of drinking.
- 29 Apr 2024 - Bomas of Kenya CEO Peter Gitaa Koria has been freed on a Ksh1 million cash bail after denying eight corruption charges relating to the misappropriation of public funds amounting to Ksh8.5 Million. Milimani Chief Anti-Corruption Magistrate Thomas Nzyoki…
- 29 Apr 2024 - A donkey cart carrying a suspected improvised bomb blew up outside an eatery in Elwak town in Mandera county killing five people and critically wounding five others. Authorities confirmed that the explosion happened Monday at 7.12 am. The targeted…