Guinea-Bissau: Wanajeshi kutoka vikundi mbalimbali vya jeshi wakipambana
Wanajeshi kutoka vikundi mbalimbali vya jeshi huko Guinea-Bissau wakipambana baada ya wanajeshi kuwaachia viongozi wawili wa serikali.
Bissau: Mapigano yamezuka usiku kucha kati ya pande mbili hasimu za jeshi la Guinea-Bissau katika mji mkuu na kuendelea siku ya Ijumaa, Desemba 1, baada ya wanajeshi kutoka ulinzi wa taifa kumuachia huru waziri mmoja ambaye alikuwa akishikiliwa kwa kushukiwa kutumia vibaya fedha za umma.
"Hali hivi sasa imedhibitiwa kikamilifu,” msemaji wa mnadhimu mkuu wa jeshi Captain Jorgito Biague aliiliambia shirika la habari la AFP.
#guineabissau #umarosissocoembalo #suleimanseidi #antoniomonteiro
14 Feb 2025
- The budget is subject to Parliament's approval.
14 Feb 2025
- The police chiefs have been in court battles since June last year.
14 Feb 2025
- The prices are set to apply for the next thirty days.
15 Feb 2025
- M23 fighters and Rwandan troops seized the airport serving Bukavu, the capital of South Kivu province in the eastern Democratic Republic of Congo on Friday, security and humanitarian sources said.
15 Feb 2025
- As tech billionaire Elon Musk expands his influence over more than a dozen U.S. federal agencies, frustration is growing among some top aides to President Donald Trump, who want more coordination from Musk's team as he slashes the U.S. government,…
15 Feb 2025
- Pope Francis was admitted to the hospital on Friday for tests and treatment for bronchitis, the latest in a series of health problems for the 88-year-old pontiff.
15 Feb 2025
- Scientists, researchers and policymakers have for many years struggled with how to make the vital connections between gender, social equity, and climate change. As more data and research reveal their clear correlation, the disparate impacts of climate…
15 Feb 2025
- Let's create dignified spaces for all to express love to those they love
15 Feb 2025
- Farmers incur losses as mango buyers avoid restive Kerio Valley
15 Feb 2025
- How chance meeting Mambo Mbotela shaped my journey into journalism
15 Feb 2025
- Details of the Ruto, Mudavadi pact that led to winding of ANC
15 Feb 2025
- Public schools on verge of shut down as funding crisis worsens
15 Feb 2025
- In-tray is full for next AU chair as Raila stands best chance