Guinea: Darzeni wafariki wakiwemo watoto kufuatia vurugu katika mechi ya kandanda
Uamuzi wa kutatanisha wa refa katika mechi ya mpira wa miguu ulizua vurugu na mkanyagano katika mechi moja ya soka kusini mashariki mwa Guinea, na kuuwa watu 56 kulingana na idadi ya awali, serikali ilisema Jumatatu.
Uamuzi wa kutatanisha wa refa katika mechi ya mpira wa miguu ulizua vurugu na mkanyagano katika mechi moja ya soka kusini mashariki mwa Guinea, na kuua watu 56 kulingana na idadi ya awali, serikali ilisema Jumatatu.
Vifo vilitokea wakati mechi ya fainali ya mashindano ya kumuenzi kiongozi wa kijeshi wa Guinea Mamady Doumbouya katika uwanja wa michezo huko Nzerekore, mojawapo ya miji mikubwa ya taifa hilo.
Baadhi ya mashabiki walirusha mawe, jambo ambalo lilizua hofu na mshtuko, taarifa ya serikali ilisema, na kuahidi uchunguzi.
Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina afisa mmoja wa mji huo alisema waathirika wengi walikuwa Watoto waliojikuta katika ghasia hizo baada ya polisi kutumia mabomu ya kutoa machozi. Afisa huyo alielezea matukio ya mkanganyiko na vurugu huku baadhi ya wazazi wakichukua miili kabla ya kuhesabiwa rasmi. - Reuters
#guinea #football #voa
17 Jun 2025
- Gachagua has torn into President Ruto for what he terms as a disregard for human life.
17 Jun 2025
- The mask vendor was unarmed and shot in full glare of the public.
17 Jun 2025
- One person was shot by police at point-blank range, amid allegations police turned a blind eye to armed goons who attacked protesters.
18 Jun 2025
- KNCHR has recorded 22 casualties during the Tuesday demonstrations calling for the resignation of Deputy Police Inspector General Eliud Lagat over his alleged involvement in teacher Albert Ojwang's murder.
18 Jun 2025
- Today’s protests took a sinister turn as police officers and hired thugs joined forces in plain sight. In a scene both brazen and unsettling, hired goons arrived on motorbikes, others armed with clubs and whips terrorizing innocent passers-by all under…
17 Jun 2025
- What had been intended as protests to demand accountability over the murder of teacher Albert Ojwang in police custody last week turned into an all-out clash pitting three groups: the police, protesters and hired goons.
17 Jun 2025
- The police officer who shot an unarmed mask vendor during the demonstrations held in Nairobi on June 17, 2025, has been arrested.
17 Jun 2025
- At around 10 p.m. on a cold night, a sudden sharp pain on the right side of her stomach sent 22-year-old Vestina Samson to the ground. Writhing in pain, Vestina’s family was unsure how to help her.
17 Jun 2025
- Three officers, among them the Officer Commanding Station at Mawego Police Station, where the late Albert Ojwang’ was briefly held before his controversial transfer to Nairobi, have now recorded statements as investigations gather pace.
17 Jun 2025
- The streets of Nairobi on Tuesday were nothing short of lawless as police officers worked with goons to fight off protesters.
17 Jun 2025
- Gachagua decried the excessive use of force by police during protests
17 Jun 2025
- “The nation is reeling from the deeply troubling shooting of an unarmed civilian.”
17 Jun 2025
- The tragic road accident along the Bondo-Kisian road also left 30 others injured