Skip to main content
Skip to main content

Hafla ya ukumbusho Marehemu Mwandishi Ken Walibora yafanyika katika Chuo Kikuu cha Kibabii

  • | Citizen TV
    156 views
    Duration: 1:45
    Wakenya wameshauriwa kukumbatia matumizi ya lugha ya kiswahili kila mara, hasa kwa kusoma vitabu na kufanikisha masomo ya kiswahili katika taasisi za elimu, kama njia moja ya kumkumbuka na kumsherehekea marehemu mwandishi ken walibora aliyebobea katika tasnia ya uandishi wa kiswahili.