"Haipendezi katika mchakato wa ubunge ni watu wa familia za viongozi"
Aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba Humprey Polepole amekosoa utararitibu wa uchaguzi wa ndani wa chama chake cha CCM akidai kuwa chama hicho kina nafasi ndogo ya uongozi hivyo kila mmoja apewe nafasi ya kugombea tofauti na kuwa na wagombea wa aina moja kutoka familia za uongozi
Polepole, aliyewahi kuwa msemaji wa chama tawala na kutetea masuala tata, kama kukiukwa kwa haki za binadamu na kukiukwa taratibu za uchaguzi wa mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020 ametoa kauli hiyo baada ya CCM kuwachuja watia nia ya ubunge katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu.
-
Hata hivyo hivi karibuni msemaji wa CCM Amos Makalla alisema kwamba mchakato wa kuwapata wagombea hao umefuata katiba na kanuni za CCM na mchakato wa kuwapata mgombea wa Urais na Makamu wa urais ulikamilika toka January
#bbcswahili #tanzania #uchaguzi2025
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
1 Aug 2025
- The resolutions were brokered with the help of former president Uhuru Kenyatta.
1 Aug 2025
- The cop was arrested following an intelligence operation.
1 Aug 2025
- The former CS has committed to fulfilling her role effectively.
2 Aug 2025
- At least 30 people have died in flooding from heavy rainfall in Guinea's capital and surrounding areas since late June, according to a new government toll released Friday.
2 Aug 2025
- U.S. President Donald Trump's latest wave of tariffs on exports from dozens of trading partners, including Canada, Brazil, India and Taiwan, sent global stock markets down on Friday as countries pushed for talks to clinch better deals.
2 Aug 2025
- Lawyer writes to Mbadi over debt securitization
2 Aug 2025
- Lawyer say the Deputy President and his entourage have dished out Sh1 billion already. In the petition, the lawyers says the officials should be found guilty of bribery, abuse of office.
2 Aug 2025
- New data show that Kenya’s elderly population is surging, now topping 3.2 million, which is almost 6 per cent of the total population.
1 Aug 2025
- The pursuit of lasting peace and unity in the Democratic Republic of Congo (DRC) will henceforth be undertaken by the African Union (AU).
1 Aug 2025
- According to the numbers, 32.5 million Kenyans are still accessing mobile telephony services on feature phones, thereby denying them access to a wide range of essential services that smartphones can offer via internet connectivity.
1 Aug 2025
- Vaping debate clouds tobacco control progress
1 Aug 2025
- Hydration hacks: When, and how much water should you really drink?
1 Aug 2025
- Interior CS Kipchumba Murkomen has strongly defended police officers over the deaths that occurred during recent anti-government protests, stating that he will not shy away from standing by the Inspector General and the entire security team.