- 51 viewsDesemba mwaka 2022 Umoja wa Mataifa ulikadiria magenge yalidhibitiwa kwa asilimia 60 kutoka mji mkuu wa Haiti. Hivi sasa mitaa mingi ya Port au Prince, UN inasema idadi ya magenge hayo yanakadiriwa kuwa asilimia 100. Ungana na mwandishi wetu akikuletea muhtasari wa yale yaliyotokea baada ya Rais wa Haiti kuuawa na baadae nchi kuingia katika ghasia. Endelea kusikiliza namna wananchi wanavyoeleza wasiwasi na hofu iliyoligubika taifa hilo.. #un #umojawamataifa #portauprince #magenge #silaha #mauaji #rais #wazirimkuu #voa #voaswahili #usalama #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Haiti: UN yakadiria magenge yameongezeka kwa asilimia 100
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 3 minutes The late Chief of Defence Forces General Francis Ogolla hit the headlines after former Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) […]
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 3 minutes The Chief of Defence Forces General Francis Omondi Ogolla and nine other military officers yesterday died in a military helicopter […]
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The National Security Council is among the government organs entrusted to help in making decisions about the appointment of a […]
- 19 Apr 2024 - Kenyans applying for passports will effective May 1, 2024 acquire the travel documents within 21 days of application, Interior Cabinet Secretary Prof. Kithure Kindiki has revealed.
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Renowned Somali-British marathon runner Mo Farah who is the Global Goodwill Ambassador for the International Organization for Migration (IOM) will […]
- 19 Apr 2024 - Reading Time: < 1 minute Three businessmen charged with conspiracy to defraud a cooperative society land valued at Sh3.4 billion has been freed after their […]
- 19 Apr 2024 - The official opening of the Ksh.9.6 billion Bunge Tower which was initially set for Friday has now been postponed to next week.
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 3 minutes Tension is now brewing between the Kenya Defence Forces (KDF) and the National Police Service (NPS) over an incident on […]
- 19 Apr 2024 - National and world leaders have since sent their heart-felt messages of condolence to the family of the late General.
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Yesterday’s plane crash that claimed the lives of Chief of Defence Forces General Francis Ogolla and other top military officers […]