- 18 views
Familia 21 kutoka kijiji cha Musoso huko Kangema , kaunti ya Muranga, zilizohamishiwa kambi moja ya muda wanaishi kwa wasiwasi baada ya shamba la mababu wao kuathiriwa na nyufa kubwa. Familia hizo ambazo zimeishi katika kambi hiyo ya muda zilizopewa na kanisa la ACK Kiairathe kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja zimetoa wito kwa serikali izitafutie ardhi salama ili ziweze kujenga nyumba na kuanza upya maisha.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Hali Tete Kambini Murang'a: Mipasuko mikubwa ya ardhi yasheheni
- - Duniani Leo ››
- 25 Aug 2025 - Political activist and businessman Morara Kebaso has blamed Kenyans for enabling leaders who preside over corruption scandals, saying
- 25 Aug 2025 - Make open-heart surgery affordable for those who need it
- 25 Aug 2025 - Karanja triumphs in thrilling tee-off showdown in Kiambu
- 25 Aug 2025 - How fine margins have reduced Kenya, Uganda and Tanzania into fans
- 25 Aug 2025 - KPA acquires 10 new cranes in bid to improve efficiency
- 25 Aug 2025 - PS directs universities to update finance portals
- 25 Aug 2025 - Embattled Governor Mutai: Powerful forces want me out
- 25 Aug 2025 - We have a good opportunity to bolster our economy, democracy
- 25 Aug 2025 - Kenya and Africa need catalytic investors, not donors, to develop
- 25 Aug 2025 - From Saitoti to Kindiki: How Raila handshakes cause trouble in paradise