- 23 views
hali ya hofu imetanda kwa watahiniwa katika shule nane za msingi eneo la Baringo kusini kaunti ya Baringo kutokana na kudhorora kwa hali ya usalama katika eneo hilo. Hali ya taharuki imetanda eneo hilo kufuatia mauaji ya afisa wa polisi wa akiba ‘KPR’ katika shule ya upili ya Kiserian wikendi iliyopita na kuwalazimu watahiniwa kutoroka na kujificha.Tukio hilo likiwafanya wazazi kuwaondoa wanafunzi kutoka shule hizo kwa hofu za kiusalama……UPS….Walimu kutoka shule zilizoathirika sasa wameitaka serikali kuingilia suala hilo kwa haraka wakidai majangili huenda wanapanga njama ya kuwavamia wanaposafirisha vifaa vya mitihani eneo hilo………UPS: BK/BK……..Hayo yakijiri, mitihani ya usanii wa vitendo ilianza leo huku walimu kutoka Nandi wakiitaka tume ya huduma kwa walimu TSC kuwaajiri walimu zaidi wa masomo ya mziki na lugha za kigeni ili kupiga jeki ukuaji wa hitaji la masomo hayo unaoshuhudiwa…UPS………Mtihani wa kitaifa wa shule za msingi KCPE Utaanza rasmi juma lijalo.
BC Channel 1 brings you the Mashujaa Day 2023 celebrations held in Kericho County. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Hali ya hofu kutanda eneo la Baringo kutokana na kudhorora kwa hali ya usalama katika eneo hilo
- - LIVE| TV47 NEWS NOW ››
- 5 May 2024 - Ahead of the University of Michigan's commencement on Saturday, the school has trained staff volunteers on how to mitigate disruptions: a change from the usual duties of guiding guests around campus and showing them to their seats.
- 5 May 2024 - Hamas negotiators began intensified talks on Saturday on a possible Gaza truce that would see a halt to the fighting and the return to Israel of some hostages, a Hamas official told Reuters, with the CIA director already present in Cairo for the indirect…
- 5 May 2024 - Russia launched an overnight drone attack on Ukraine's Kharkiv and Dnipro regions, injuring at least six people and hitting critical infrastructure, commercial and residential buildings, regional officials said on Saturday.
- 5 May 2024 - At least 42 deaths have been recorded from a measles outbreak in just over a week in Nigeria's northeastern state of Adamawa, the state's health commissioner said on Friday.
- 5 May 2024 - German company HyImpulse successfully launched on Friday a candle wax-powered rocket capable of carrying commercial satellites on a test suborbital flight into space for the first time.
- 5 May 2024 - The death toll from rains in Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul rose to 56, local authorities said on Saturday morning, while dozens still have not been accounted for.
- 5 May 2024 - The World Meteorological Organization warns that Tropical Cyclone Hidaya, which is projected to make landfall in Tanzania and Kenya this weekend, threatens to worsen the humanitarian crisis triggered by torrential rains in these and other heavily flooded…
- 5 May 2024 - Doctors reject return-to-work plan
- 5 May 2024 - Why gender-based violence fight is still far from being won
- 5 May 2024 - Bridging the digital divide calls for inclusive development