Hali ya kibinadamu ya Tigray ni 'mbaya' mwaka mmoja baada ya makubaliano ya amani
Ni mwaka mmoja tangu makubaliano ya amani yakubaliwe kumaliza mzozo wa umwagaji damu katika eneo la Tigray nchini Ethiopia, ambao ulisababisha vifo vya maelfu ya watu.
Ingawa amani imedumu, watu wengi wameshindwa kurejea nyumbani kwani sehemu za eneo hilo bado zinakaliwa na vikosi vya Eritrea upande wa kaskazini na wanamgambo wa Amhara upande wa magharibi.
Wengi wamekimbia makazi yao na wanahitaji misaada ya kibinadamu.
Tulienda Shire, kaskazini-magharibi mwa Tigray, ili kuzungumza na watu ambao bado wanapambana na athari ya vita.
#bbcswahili #ethiopia #eritrea
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Hundreds of students have decried the uncertainty surrounding their university school fees.
18 Aug 2025
- The project is expected to take 24 months.
18 Aug 2025
- Nairobi is among the regions flagged to experience moderate to heavy rainfall by the weatherman.
19 Aug 2025
- Although the Ministry of Education assured that the adjustments had been finalized, most universities are still unable to provide clear details on the revised fees, leaving many students uncertain about how much they are required to pay as admissions…
19 Aug 2025
- Meeting for their first-ever joint parliamentary group session, MPs from the two rival parties agreed on an implementation matrix that sets clear timelines for the process.
19 Aug 2025
- The meeting, attended by President Ruto, his deputy Prof. Kithure Kindiki, and ODM leader Raila Odinga, was expected to foster unity between the two sides. Instead, it was dominated by heated exchanges over corruption allegations that have rocked both…
19 Aug 2025
- In a Gazette Notice dated August 18, Senate Speaker Amason Kingi announced that the session, scheduled for 2:30 p.m. at the Senate Chamber in Parliament Buildings, Nairobi, will begin with Nabwire's official oath-taking.
19 Aug 2025
- Teachers' unions oppose Raila's proposal to devolve education
19 Aug 2025
- Cracks in Raila's party widen as Sifuna, Babu skip UDA-ODM talks
19 Aug 2025
- Renewed hope as Kenya eyes billions in mining
19 Aug 2025
- The economic inequality; can we close the gap?
19 Aug 2025
- Court awards intersex athlete Sh1m, orders State to improve prisons
19 Aug 2025
- Cake or crumbs? Counties starved of funds despite devolution promise