- 534 views
Michezo ya shule za sekondari za Afrika Mashariki huenda ikalazimishwa kutafuta ukumbi mpya ikiwa uwanja wa Bukhungu huko Kakamega hautakamilika mwezi mmoja ujao. Shirikisho la michezo ya shule za sekondari za Afrika Mashariki limeelezea kusikitishwa kwao na hali ya uwanja kwa sasa kumbi zingine zilizotengwa kwa michezo hiyo Kakamega ziko katika hali nzuri, lakini uwanja wa Bukhungu ambao ni ukumbi mkuu wa mechi za kandanda una siku 30 tu kabla ya timu hiyo kufanya ukaguzi mwingine. Kumbi za Kakamega zitajaribiwa wakati wa mashindano ya kitaifa ya michezo za muhula wa pili ambayo itaanza tarehe 26 Julai. Serikali ya kaunti kupitia mtendaji mkuu wa michezo Jackline Masicha imeahidi kuwa uwanja huo utakuwa tayari kwa michezo ya shule ya kitaifa, na pia michezo ya Afrika Mashariki. Matukio hayo mawili yametofautiana kwa siku kumi tu.
Hali ya uwanja wa Bukhungu yaleta tumbo joto kwa waandalizi wa michezo ya sekondari Afrika Mashariki
- 2 Jul 2025 - Uganda will require fuel distributors to blend locally produced ethanol into all petrol sold in the country starting next January, the energy ministry said on Tuesday, a measure that could reduce the East African nation's petroleum import bill.
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has broken his silence on some of the most high-profile unresolved cases during his time in office, including the discovery of bodies in River Yala and the murder of then Independent Electoral and…
- 2 Jul 2025 - A Taliban diplomat will on Tuesday assume the role as Afghanistan's ambassador to Russia, the Islamist group's first top envoy to Moscow since seizing power in 2021, Russian state media reported.
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang'i has weighed in on last year's Gen Z-led demonstrations that saw protesters breach Parliament, citing that the protests would have taken a different trajectory had he been occupying the security docket.
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has questioned the efficiency of the National Intelligence Service (NIS) in light of claims that goons were hired to infiltrate recent anti-government protests, saying the agency should have known and…
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has rubbished claims that he is a political project of former President Uhuru Kenyatta, saying he is yet to align himself with any political party as he continues to consult across the political…
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i has announced that he is ending his stint at the World Bank in Washington, DC, to fully focus on his presidential ambitions ahead of the 2027 General Election. Speaking during an interview with a local TV…
- 2 Jul 2025 - A new nationwide initiative has been launched to equip young farmers with agroecology knowledge and business skills. The Participatory Ecological Land Use Management (PELUM) organisation project, dubbed Youth in Agroecology and Business Learning Track…
- 2 Jul 2025 - Bank ordered to pay Sh284m withdrawn from Koinange's family account
- 2 Jul 2025 - There is need to rethink how protests are conducted