Halima Mdee: Mimi ni CHADEMA ila sina tabia ya kususa
Mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya Chama cha Demokrarasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Halima Mdee amesema atazungumzia hatma yake ya kisiasa baada ya Bunge la nchi hiyo kuvunjwa mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu, kwani kwa sasa bado hajafikia uamuzi.
-
Halima, aliyewahi kuwa mbunge wa kuchaguliwa wa Kawe jijini Dar es Salaam kwa miaka 10, ametoa tamko hilo wakati wa mahojiano maalumu na mwandishi wa BBC, Florian Kaijage huku akizungumzia kwa mara ya kwanza utaratibu uliomwingiza bungeni yeye na wenzake kumi na wanane mwaka 2020 na kuzua mgogoro yao na Chadema.
-
#bbcswahili #siasa #tanzania #chadema #uongozi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
12 Jul 2025
- Karua has been in politics for close to three decades.
12 Jul 2025
- Her sentiments come in the wake of the heightened youth killings.
12 Jul 2025
- The latest incident follows similar reports at Alliance Girls High School.
12 Jul 2025
- Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
12 Jul 2025
- Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
12 Jul 2025
- Julia Njoki was arrested on July 7 during nationwide protests against police violence and government corruption, held on the anniversary of Saba Saba Day, which commemorates Kenya’s struggle for multi-party democracy.
12 Jul 2025
- Karua has been in politics for close to three decades.
12 Jul 2025
- Her sentiments come in the wake of the heightened youth killings.
12 Jul 2025
- George Maina Muriithi is accused of luring a businessman in October 2022 with a fake investment deal, claiming to sell 48,800 shares in the lodge company at Sh1,000 each.
12 Jul 2025
- Oparanya noted that the government is not only focused on reviving coffee production in traditional regions but also on introducing the crop in new counties identified as having favourable conditions for coffee farming.
12 Jul 2025
- Gaza's civil defence agency said Israeli forces killed 18 people on Friday, including 10 who were waiting for aid in the south of the war-ravaged territory.
12 Jul 2025
- The latest incident follows similar reports at Alliance Girls High School.
12 Jul 2025
- "Your work is to sing for us so that we can sleep well. To entertain us when we are relaxing."