Halima Mdee: Mimi ni CHADEMA ila sina tabia ya kususa
Mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya Chama cha Demokrarasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Halima Mdee amesema atazungumzia hatma yake ya kisiasa baada ya Bunge la nchi hiyo kuvunjwa mwishoni mwa mwezi Juni mwaka huu, kwani kwa sasa bado hajafikia uamuzi.
-
Halima, aliyewahi kuwa mbunge wa kuchaguliwa wa Kawe jijini Dar es Salaam kwa miaka 10, ametoa tamko hilo wakati wa mahojiano maalumu na mwandishi wa BBC, Florian Kaijage huku akizungumzia kwa mara ya kwanza utaratibu uliomwingiza bungeni yeye na wenzake kumi na wanane mwaka 2020 na kuzua mgogoro yao na Chadema.
-
#bbcswahili #siasa #tanzania #chadema #uongozi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
24 May 2025
- The move is aimed at streamlining and enhancing operations within various dockets.
24 May 2025
- The former governor served from 2017 to 2022.
24 May 2025
- Agather was found abandoned at the Mutukula border between Uganda and Tanzania on May 22.
24 May 2025
- Nandi Senator Samson Cherargei and Githunguri Member of Parliament Gathoni Wamuchomba have called for Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen to resign, arguing that he is unfit to handle the ministry.
24 May 2025
- At least eight people have been confirmed dead following a devastating fire that broke out early Saturday morning in the Kichinjio area of Makina, within Kibra Sub-county in Nairobi.
24 May 2025
- The United States government has called for investigations into the allegations of human rights abuses involving activists Boniface Mwangi and Agather Atuhaire at the hands of the Tanzanian authorities.
24 May 2025
- The move is aimed at streamlining and enhancing operations within various dockets.
24 May 2025
- At least six people have been killed and six others sustained serious burns after a fire broke out early Saturday in Makina, Kibra constituency.
24 May 2025
- The operation is part of ongoing efforts to combat drug and alcohol abuse in the region
24 May 2025
- Pakistan’s aviation authority said on Friday it would extend a ban on Indian airlines using its airspace for another month, after the worst violence between the nuclear-armed rivals in decades.
24 May 2025
- The former governor served from 2017 to 2022.
24 May 2025
- Both activists recounted being subjected to 'unimaginable cruelty'.
24 May 2025
- Dairy and poultry farmers in Kisii county have been urged to embrace digital tools for better yields and income. County Agriculture Chief Officer Agnes Choti noted that farmers need technology to link them with experts and markets for their goods. Ms…