Skip to main content
Skip to main content

Harambee Stars itachuana na Madagascar Kasarani

  • | Citizen TV
    4,899 views
    Duration: 1:40
    Katibu wa wizara ya usalama raymond omollo amewahimiza wakenya kuwa na subira kutokana na changamoto zinazoletwa na michuano ya CHAN akisema hatua kama vile kufungwa kwa barabara ni kuhakikisha taifa limefuata maagizo ya michuano hiyo.