- 68 views
Muungano wa vituo vya kurekebisha tabia humu nchini umeunga mkono hatua ya serikali kufunga maeneo ya kuuzia vileo kwenye maeneo ya kuishi ,na karibu na vyuo. Muungano huo unahofia kuongezeka kwa maduka ya pombe kutaongeza idadi ya waraibu ,wakati ambapo gharama ya huduma ya kubadilisha mienendo na kukabiliana na uraibu ni ya juu. Wameomba shirika la nakada kufanya majadiliano na serikali ya kitaifa ili kuongeza matibabu ya uraibu kwenye orodha ya huduma chini ya bima ya nhif .
Hatua ya serikali ya kufunga maeneo ya kuuzia vileo kwenye maeneo ya kuishi
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 20 Apr 2024 - NATO allies on Friday agreed to provide Kyiv with additional air defence systems, NATO chief Jens Stoltenberg said after a special meeting of allied defence ministers with Ukrainian President Volodymyr Zelenskiy.
- 20 Apr 2024 - A 14-year-old girl has died of a heart attack in eastern France after her school locked down to protect itself from a knife attacker who lightly wounded two other girls, an official said on Friday.
- 20 Apr 2024 - Ukraine shot down a Russian strategic bomber 300 km (185 miles) from its border on Friday after the warplane took part in an airstrike that killed at least eight people, including two children, in the central Dnipropetrovsk region, Kyiv said.
- 20 Apr 2024 - A Congolese national has been charged for allegedly defrauding a Chinese company USD 1 million (Ksh.133.5 million) under the guise that he would supply them with mineral ore.
- 20 Apr 2024 - Deaths from heavy rains earlier this week in the United Arab Emirates rose to four, authorities said on Friday, as well as flooding roads and jamming Dubai's international airport.
- 20 Apr 2024 - Ray of hope as doctors' talks with the government gain momentum
- 20 Apr 2024 - Azimio leaders call for thorough probe into KDF chopper crash
- 20 Apr 2024 - Military prepares for first of its kind CDF burial
- 20 Apr 2024 - Only bold commitment to action, not conferences will end wage bill crisis
- 20 Apr 2024 - What Africa can learn from recent Dubai floods